matangazo

matangazo

Monday, December 14, 2009

HONGERA

Siku mzalendo Lukelo(wakwanza kulia) alipotunukiwa shahada ya kwanza ya habari kutoka chuo kikuu cha Tumaini mjini Iringa. wapili kutoka kulia ni Mrs Mtemahanji yeye alitunukiwa masters ya utawala katika biashara na wa kwanza kushoto ni Mr julius Shayo nae shahada ya kwanza ya habari wakisindikizwa na Junior

No comments: