matangazo

matangazo

Thursday, August 5, 2010

KAMA UTANI VILE





Picha juu alianza kama utani vile kwa mwendo wa ukakamavu . Baada ya mwendo wa kikakamavu akafanya manjonjo kwa kufagilia kibunge mheshimiwa spikaaaaaaaaaaaaaa.huyo ni mmoja wa wakimbiza mwenge kitaifa ambaye anajulikana kwa jina la utani Masai kutoka Manyara akiwafurahisha wananchi kwa kufagilia kibunge.Hongera kwa ubunifu.

No comments: