matangazo

matangazo

Tuesday, September 2, 2008

Injili






Moja ya kibanda ambacho kilijengwa na wakoloni wa kijerumani katika harakati zao za kueneza injili Tanganyika.Kibanda hiki kiko wilayani Njombe inasadikika kina karne moja na ushehe kwa mujibu ya wanjeji wa Lupembe ambako ndiko kiko,lakini bado kiko imara.Hiyo inayoonekana ni mfano wa biblia takatifu.Asante mzalendo Gosberti wa Njombe kwa picha na maelezo)

No comments: