matangazo

matangazo

Thursday, August 5, 2010

USALAMA KWANZA



Picha ya chini mzalendo Lukelo akiwa na mmoja wa walinda amani siku ya mwenge wilayani Njombe.Picha ya kwanza kushoto ni kamanda wa polisi Iringa na kushoto ni OCD wa wilaya yaNjombe kamanda E. Urio wakihakikisha usalama unakuwepo wakati wa makabidhiano ya mwenge mpakani mwa Njombe na Ludewa kijiji cha Kitulila mwenge ulipokabidhiwa kutoka wilaya ya Ludewa kuja Njombe.Katika ni mgambo shupavu akionyesha ukakamavu.

No comments: