
matangazo

Friday, August 12, 2011
Wednesday, December 29, 2010
Wanahabari
Wednesday, October 6, 2010
ZAMA ZA KALE
Mzalendo Lukelo ukijaribu kupekesha vijiti kama walivyofanya mababu zetu hapo zamani ili kuweza kupata moto. Licha ya zoezi hilo kuwa ni gumu lakini mungu si Athumani alifanikiwa kuupata moto.Chini ya vinavyopekechwa kuna kinyesi cha ng'ombe ambacho husaidia kudaka moto pindi vijiti vinapotoa cheche baada ya kupekechwa . Hapa ilikua mkoani Iringa katika kijiji cha Ilolo mpya kilichopo tarafa ya Pawaga kwenye maadhimisho ya wiki ya utalii.
Friday, August 6, 2010
vuvuzela la bongo

KIBURUDANI ZAIDI
KIPAJI POPOTE TU
KARIBU MWANANGU
Thursday, August 5, 2010
KAMA UTANI VILE
Picha juu alianza kama utani vile kwa mwendo wa ukakamavu . Baada ya mwendo wa kikakamavu akafanya manjonjo kwa kufagilia kibunge mheshimiwa spikaaaaaaaaaaaaaa.huyo ni mmoja wa wakimbiza mwenge kitaifa ambaye anajulikana kwa jina la utani Masai kutoka Manyara akiwafurahisha wananchi kwa kufagilia kibunge.Hongera kwa ubunifu.
USIONE UKADHANI
raha ya ngoma
NGOMA INOGILE
USALAMA KWANZA
MWENGE UKIWASILI
SIO TIMU YA MPIRA
Wanaonekana kama ni kama wanamichezo fulani hivi ,lakini ukweli hao ni viongozi mbalimbali wa halmashauri ya wilaya ya Njombe na halmashauri ya mji waNjombe wakiusubili mwenge mpakani mwa Ludewa na Njombe tayari kuukimbiza wilaya ya Njombe. Hii ni sare ya wilaya ya Njombe katika kuupokea mwenge wa uhuru mwaka huu 2010.
MWENGE UKIWASILI NJOMBE
vuvuzela jipya
Monday, December 14, 2009
MANZARI
HONGERA
Friday, February 27, 2009
Saturday, February 7, 2009
Friday, February 6, 2009
RAIS WA AFRIKA KUSINI
Saturday, January 24, 2009
legal education in tanzania
TUMAINI UNIVERSITY
Sunday, January 11, 2009
miaka 45 ya mapinduzi ya zanzibar



Leo ni Sikukuu ya Mapinduzi ya Zanzibar ambapo Watanzania wote wanaungana katika kumbukumbu ya uhuru wa visiwa vya Unguja na Pemba kutoka kwa utawala wa Sultan wa Oman mwaka 1964.
Sherehe za Mapinduzi mwaka huu zinatarajiwa kufanyika katika Uwanja wa Gombani kisiwani Pemba ambako Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Amani Abeid Karume anatarajia kuongoza sherehe hizo.
Viongozi mbalimbali wa Zanzibar na Muungano wanatarajiwa kuhudhuria na kutoa hotuba za kuenzi mapinduzi hayo ambayo yaliongozwa na Rais wa kwanza wa Zanzibar, hayati Abeid Amaan Karume. Kama ilivyo ada, mbali ya hotuba mbalimbali, sherehe hizo zitapambwa na burudani mbalimbali zikiwamo ngoma za utamaduni kutoka Visiwani na Bara.
Rais Karume pia anatarajiwa kutangaza msamaha kwa wafungwa kwa mujibu wa mamlaka aliyopewa na Katiba ya Zanzibar kifungu cha 59. Katika sherehe za mwaka jana, wafungwa 25 walisamehewa. Baada ya Mapinduzi hayo ya Januari 12, 1964, Aprili 26, mwaka huo, Zanzibar iliungana na Tanganyika na kuzaa Taifa moja la Tanzania ambalo Rais wa wake wa kwanza alikuwa Julius Nyerere
Sherehe za Mapinduzi mwaka huu zinatarajiwa kufanyika katika Uwanja wa Gombani kisiwani Pemba ambako Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Amani Abeid Karume anatarajia kuongoza sherehe hizo.
Viongozi mbalimbali wa Zanzibar na Muungano wanatarajiwa kuhudhuria na kutoa hotuba za kuenzi mapinduzi hayo ambayo yaliongozwa na Rais wa kwanza wa Zanzibar, hayati Abeid Amaan Karume. Kama ilivyo ada, mbali ya hotuba mbalimbali, sherehe hizo zitapambwa na burudani mbalimbali zikiwamo ngoma za utamaduni kutoka Visiwani na Bara.
Rais Karume pia anatarajiwa kutangaza msamaha kwa wafungwa kwa mujibu wa mamlaka aliyopewa na Katiba ya Zanzibar kifungu cha 59. Katika sherehe za mwaka jana, wafungwa 25 walisamehewa. Baada ya Mapinduzi hayo ya Januari 12, 1964, Aprili 26, mwaka huo, Zanzibar iliungana na Tanganyika na kuzaa Taifa moja la Tanzania ambalo Rais wa wake wa kwanza alikuwa Julius Nyerere
Tuesday, December 23, 2008
Ujumbe wa Christmas na mwaka mpya

Every man should be born again on the first day of January. Start with a fresh page. Take up one hole more in the buckle if necessary, or let down one, according to circumstances; but on the first of January let every man gird himself once more, with his face to the front, and take no interest in the things that were and are past.
Saturday, September 13, 2008
Tuesday, September 2, 2008
IBADA
Injili



Moja ya kibanda ambacho kilijengwa na wakoloni wa kijerumani katika harakati zao za kueneza injili Tanganyika.Kibanda hiki kiko wilayani Njombe inasadikika kina karne moja na ushehe kwa mujibu ya wanjeji wa Lupembe ambako ndiko kiko,lakini bado kiko imara.Hiyo inayoonekana ni mfano wa biblia takatifu.Asante mzalendo Gosberti wa Njombe kwa picha na maelezo)
Subscribe to:
Posts (Atom)